Zaidi ya watu 30 wafariki kwenye ajali ya boti Kongo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-17 00:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hadi sasa baadhi ya familia zinasubiri kusikia kuhusu hatma ya ndugu na jamaa zao ambao hadi sasa hawajulikani waliko huku mamlaka za serikali zikilaumiwa kwa mara nyingine kwa kuruhusu boti kusafiri bila kuzingatia kanuni madhubuti za usalama.
--------------------------------------------------------------------