Ousmane Dembélé na Aitana Bonmatí wachezaji bora wa FIFA

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-17 20:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanaongeza heshima nyingine baada ya pia kushinda Ballon d'Or ya wanaume na wanawake mwaka huu. Dembélé alinga'a akiwa na Paris Saint-Germain, akiisaidia klabu hiyo kushinda taji lake la kwanza la Ligi ya Mabingwa Ulaya, huku Bonmatí akitamba na Uhispania pamoja na FC Barcelona.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]