Trump aweka marufuku kamili ya usafiri kwa nchi saba zaidi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-17 21:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Siku ya Jumanne utawala wa Rais Donald Trump ulitanua orodha ya nchi ambayo raia wake wamewekewa masharti makali. Nchi 20 ikiwemo Mamlaka ya Palestina zimeongezwa kwenye orodha ya awali iliyotolewa mwezi Juni.
--------------------------------------------------------------------