Jimmy Lai akutwa na hatia katika kesi ya usalama wa taifa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 23:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Majaji watatu wa serikali walimkuta Lai aliye na umri wa miaka 78, na hatia ya kuungana na wenzake wengine kushirkiana kinyume cha sheria kuhatarisha usalama wa China pamoja na kuchapisha taarifa za uchochezi. Hata hivyo Lai ambae ni mpinzani mkubwa wa serikali ya Beijing amekanusha mashitaka yote dhidi yake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]