DRC: M23 watangaza kuanza kuondoka katika mji wa Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-18 21:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la waasi wa M23 limeanza kujiondoa katika mji wa kimkakati wa Uvira,mashariki mwa nchi hiyo. Waasi hao walichukua udhibiti wa mji huo wiki iliyopita kufuatia mashambulizi waliyoyaendesha mapema mwezi huu, licha ya kuwepo kwa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamiwa na Marekani.
--------------------------------------------------------------------