Waasi wa M23 wadai kuanza kuondoka Uvira

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-18 14:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Bertrand Bisimwa, kiongozi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda ameliambia shirika la habari la AP kwa njia ya simu kwamba hatua hiyo inakamilika asubuhi ya leo. Hata hivyo, msemaji wa Gavana wa Kivu Kusini hakupatikana kuthibitisha taarifa hizo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]