Marekani kuiuzia Taiwan silaha zenye thamani ya $ bilioni 11

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-18 22:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, US Politics, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Haya yakiwa miongoni mwa mauzo makubwa zaidi ya silaha kwa kisiwa hicho kinachojitawala, huku Washington ikilenga kuzuia uwezekano wa uvamizi kutoka China. Mpango huo, ambao bado unahitaji idhini ya Bunge la Marekani, unajumuisha mifumo ya roketi ya HIMARS, mizinga, makombora ya kupambana na vifaru, ndege zisizo na rubani pamoja na vifaa vingine vya kijeshi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]