Ujerumani kuwapokea WaAfghani 535 kutoka Pakistan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 02:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Alexander Dobrindt amesema wanatarajia kukamilisha mchakato wa kulishughulikia suala hilo mnamo mwezi huu wa Desemba, ili kuwaruhusu watu hao kuwasili nchini Ujerumani. Mpango huo uliidhinishwa na utawala uliopita na Kansela Friedrich Merz aliusitisha mara tu alipoingia madarakani.
--------------------------------------------------------------------