RSF yafanya shambulizi kubwa la droni mashariki mwa Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 02:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kampuni ya kitaifa ya kusambaza ya umeme nchini Sudan imesema mashambulizi hayo ya leo ya RSF yamesababisha kukatika kwa umeme katika baadhi ya miji mikubwa ikiwa ni pamoja na mji mkuu, Khartoum na Port Sudan. Abdel Rahim al-Amin, afisa katika jimbo la Port Sudan, ameliambia Shirika la Habari la Ufaransa, AFP kuwa umeme ulikatika kwenye eneo hilo tangu saa nane usiku.
--------------------------------------------------------------------