Wakuu wa EU kuufanyia kazi mpango wa kutumia mali za Urusi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 02:56 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hata hivyo hakuna uamuzi rasmi uliochukuliwa kuhusu suala hilo na kuafikiana kulifanyia kazi badala ya mkopo wa pamoja. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema nchi yake iko tayari kwa mfumo wowote wa kutumia mali za Urusi zilizozuiwa lakini akasema angependelea zaidi pendekezo la mkopo kuliko kutumia mali za Urusi. Zelensky amezitaka nchi za Ulaya kuchukua uamuzi wa mwisho kabla ya mwaka huu kumalizika.
--------------------------------------------------------------------