Trump: Nimefanikiwa kumaliza vita vingi duniani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 02:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Licha ya makubaliano hayo kusainiwa mapema mwezi Desemba, eneo la Kongo Mashariki linasalia kuwa uwanja wa mapigano. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, zaidi ya watu laki tano walilazimika kuyahama makazi yao katika wiki moja tu baada ya makubaliano hayo. Mashirika ya misaada yanasema badala ya kuleta utulivu, makubaliano hayo yalichochea mapigano mapya,na kusababisha waasi wa M23 kutwaa maeneo zaidi, ikiwemo mji wa Uvira.
--------------------------------------------------------------------