Vyanzo: Wapiganaji wa M23 bado wapo katika mji wa Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 03:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hayo yameelezwa na vyanzo vya kiusalama katika eneo hilo, baada ya kundi hilo la waasi wa M23 linaloungwa mkono na Rwanda kutangaza kuwa limeanza kujiondoa katika mji huo na kuahidi kuwa zoezi hilo linatarajiwa kukamilika leo Alhamisi.
--------------------------------------------------------------------