UN: Watu nusu milioni wamekimbia makaazi yao Kivu Kusini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 21:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Valeria Caccavo kutoka shirika la Msalaba Mwekundu mjini Bukavu amesema kuwa mapigano yaliyotokea mwezi huu yamekuwa makali zaidi kuliko ilivyokuwa awali.
--------------------------------------------------------------------