Amnesty: Tanzania ilitumia nguvu kubwa kuzima maandamano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 22:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, World News
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Vikosi vya usalama vya Tanzania vilitumia nguvu kubwa kupita kiasi, ikiwemo mauaji, katika kuzima maandamano ya uchaguzi yaliyofanyika kati ya tarehe 29 Oktoba na 3 Novemba 2025, kwa mujibu wa ripoti mpya ya shirika la haki za binadamu la Amnesty International. Ripoti hiyo inaeleza kuwa hatua hizo zilionesha kiwango cha kutisha cha kutojali haki ya uhai na uhuru wa kukusanyika kwa amani.
--------------------------------------------------------------------