Museveni atishia kutumia nguvu wakati wa uchaguzi ujao

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 23:30 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kauli ya Museveni imekosolewa na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi ambaye amewatahadharisha polisi na wanajeshi kutokubali kuwaua wananchi wenzao wakilinda maslahi ya kiongozi asiyeheshimu maisha ya binadamu. Matamshi ya rais Yoweri Museveni yameibua maoni kwamba vitisho vyake vyaweza kusababisha raia wengi wasijitokeze kupiga kura.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]