Museveni kwa wanaopanga kuandamana: "Tuna risasi za kutosha"

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-20 00:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekosolewa vikali kufuatia kauli yake kuhusu maandalizi ya kuwapa askari polisi na wanajeshi risasi 120 kila mmoja kwa ajili ya kukabiliana na vurugu wakati wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Januari mwakani. Kauli hiyo imeibua mjadala mpana ndani na nje ya nchi kuhusu usalama, demokrasia na haki za binadamu.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]