UN yahimiza msaada kwa wakimbizi wa DRC nchini Burundi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-20 02:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Umoja wa Mataifa umeomba ufadhili wa dharura wa dola milioni 33.2 kusaidia zaidi ya watu 80,000 waliokimbilia Burundi kufuatia mashambulizi mapya ya waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
--------------------------------------------------------------------