Rais wa zamani wa Iraq ateuliwa kuwa Mkuu wa UNHCR
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-20 21:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika hilo la wakimbizi lenye makao yake makuu mjini Geneva nchini Uswisi, huwasaidia mamilioni ya watu kote duniani ambao wamelazimika kuzikimbia nchi zao kutokana na vita na madhila mbalimbali.
--------------------------------------------------------------------