Baraza la Usalama la UN laiongezea muda MONUSCO huko DRC

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-20 21:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Azimio hilo lilipigiwa kura Ijumaa na kikosi hicho kimeongezewa muda wa mwaka mmoja wa ziada hadi Disemba 20, 2026 huku Marekani ikitoa wito kwa vikosi vya Rwanda na waasi M23 kuheshimu makubaliano ya amani ya kikanda kufuatia vurugu zinazoendelea kushuhudiwa mashariki mwa DRC.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]