Waziri Mkuu wa Sudan ziarani Marekani kuujadili mzozo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-21 02:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ziara ya Idris inalenga pia kujadili namna ya kuwezesha usambazaji wa misaada ya kibinadamu na uwezekano wa kufikiwa kwa mpango wa kusitisha mapigano. Hayo yameelezwa na vyanzo viwili vya serikali ya Sudan wakati mapigano kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF yakiendelea na kushika kasi katika jimbo la Kordofan, na hivyo kuzusha hofu ya kutokea ukatili mwengine kama ulioshuhudiwa katika mji wa El-Fasher mwishoni mwa mwezi Oktoba.
--------------------------------------------------------------------