Marekani yafanya shambulizi Syria na kuwaua magaidi watano

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-21 02:56 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Chanzo kimoja cha usalama huko Syria kimesema mashambulizi hayo yalilenga maeneo ya kundi hilo katika eneo kubwa la jangwa la Badia nchini Syria ikiwa ni pamoja na majimbo ya Homs, Deir Ezzor na Raqa, na kwamba hayakujumuisha operesheni za ardhini.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]