Cambodia na Thailand kujadiliana zaidi kuhusu mzozo kati yao
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-22 21:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Nje wa Thailand Sihasak Phuangketkeow amewaambia waandishi wa habari mjini Kuala Lumpur kwamba majadiliano hayo yatafanyika katika mfumo wa kamati iliyopo ya pamoja ya mipaka ya JBC.
--------------------------------------------------------------------