Israel kutanua makazi ya walowezi Ukingo wa Magharibi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-22 21:25 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa hiyo imetolewa siku ya Jumapili na waziri wa fedha wa Israel mwenye siasa kali za mrengo wa kulia Bezalel Smotrich aliyetaja kuwa kwa sasa makazi hayo yamefikia idadi ya 69. Smotrich ambaye amekuwa mstari wa mbele kuitetea ajenda ya upanuzi wa makazi hayo ya walowezi, amesema hiyo ni rekodi mpya katika miaka ya hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------------