Hali ya kibinaadamu Sudan inazidi kuwa mbaya

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 03:30 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mapigano kati ya kundi la wanamgambo wa RSF na jeshi la taifa la Sudan sasa yanajikita jimboni Kordofan ambako jeshi la Sudan linadhibiti miji kadhaa iliyozingirwa na wapiganaji wa RSF. Kordofan pia ni eneo la mwisho linalotenganisha maeneo yanayoshikiliwa na jeshi kaskazini na katikati, ikiwa ni pamoja na mji mkuu wa Sudan Khartoum, na maeneo yanayodhibitiwa na RSF huko Darfur magharibi mwa Sudan pamoja na sehemu za kusini.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]