Zijue athari za ongezeko la vina vya maji Kenya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 04:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkulima mmoja anayeitwa Dickson Ngome amesema, alianza kulima katika eneo la Ziwa Naivasha mwaka 2008, shamba lake wakati huo likiwa kwenye umbali wa zaidi ya kilomita mbili kutoka ufukweni mwa ziwa hilo. Katika shamba lake hilo la ekari moja na nusu, alilima mboga kwa ajili ya kuuza sokoni. Wakati huo, kiwango cha maji ya ziwa kilikuwa kinapungua, na wakazi waliogopa kwamba lingeweza kukauka kabisa.
--------------------------------------------------------------------