Waziri Mkuu wa Sudan ataka UM uunge mkono mpango wa amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 15:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Idris amesema mpango wa usitishaji vita unahitajika haraka iwezekanvyo chini ya usimamizi wa Umoja huo, ule wa Afrika na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.
--------------------------------------------------------------------