Wakongo: M23 waendelee kubakia mjini Uvira

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 02:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maelfu ya raia walijitokeza kushiriki kwenye maandamano hayo makubwa wakipinga shinikizo la kuondolewa kwa waasi wa M23 katika mji wa Uvira. Kwa masaa kadhaa,shughuli zote za kila siku zilisimama katika mji wa Goma, huku maduka na masoko vikiwa vimefungwa. Mama huyu aliyeshiriki kwenye maandamano hayo lakini anaeleza hisia zake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]