Waziri Mkuu Sudan aitaka UN kusimama upande sahihi wa amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 20:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, International Orgs, World News
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris, amewasilisha mpango mpana wa amani mbele ya United Nations akilitaka United Nations Security Council kuunga mkono jitihada za kusitisha vita na kuleta utulivu katika taifa hilo lililokumbwa na machafuko kwa karibu miaka mitatu.
--------------------------------------------------------------------