Zelensky: Urusi huenda ikashambualia wakati wa Krismasi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 21:22 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza mjini Kiev, Zelensky amesema Urusi ina tabia ya kushambulia wakati wa sherehe za krismasi, huku akisema kwa sasa hali ni ngumu kutokana na taifa lake kukosa mifumo ya ulinzi wa anga. Ukraine itasherehekea rasmi krismasi Desemba 25, kama ilivyo kwa wakristo wengine, lakini kwa waukraine walio wengi wanaendelea kuisherehekea siku hiyo Januari 7 wakifuata desturi za madhehebu ya Wakristo wa Orthodox kama ilivyo pia nchini Urusi.
--------------------------------------------------------------------