China yazitolea wito Cambodia na Thailand kusitisha mapigano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-23 22:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mjumbe maalum wa China katika masuala ya Asia, Deng Xijun, ametoa wito hii leo kwa mataifa ya Thailand na Cambodia kukubaliana kusitisha mapigano na kurudi tena katika meza ya mazungumzo ili kutatua migogoro yao ya mipaka kwa amani.
--------------------------------------------------------------------