Wahouthi na serikali ya Yemen kubadilishana wafungwa 3,000
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 02:24 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waasi wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen na serikali nchini humo inayotambuliwa kimataifa wamekubaliana hii leo kubadilishana wafungwa ambao jumla yao ni karibu watu 3,000.
--------------------------------------------------------------------