Ujerumani: Urusi inajiandaa kushambulia nchi ya NATO

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 02:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, International Orgs, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na shirika la habari la Ujerumani DPA, Wadephul alisisitiza kuwa hakutaka kuelezea namna tukio hilo lingetokea, kile anachosisitiza ni Jumuiya ya NATO kuwa tayari kwa vita iwapo vitatokea. Kiongozi huyo amesema kwa sasa Jumuiya hiyo inaongeza uwezo wake wa ulinzi huku Ujerumani nayo ikiimarisha kikosi chake, kuongeza idadi ya wanajeshi pamoja na vifaa vya kivita, ikijipanga kukabiliana na mashambulizi ya Urusi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]