DRC yaanza tena kuuza nje madini ya Kobalti
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 02:45 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanza tena mauzo ya nje ya madini ya kobalti, baada ya kusimamishwa kwa kipindi cha miezi 10 ili kupunguza kushuka kwa bei kutokana na usambazaji wa kupita kiasi duniani, serikali ya Kongo imeyasema hayo hii leo.
--------------------------------------------------------------------