Marekani na Iran zalaumiana mkwamo mazungumzo ya nyuklia

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 14:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mjumbe wa Marekani kwa kanda ya Mashariki ya Kati, Morgan Ortagus, ameliambia Baraza la Usalama kwamba Washington ipo tayari wakati wote kwa mazungumzo na Iran iwapo nchi hiyo itaridhia matakwa yake. Amesema masharti ya Marekani hayajabadilika ikiwemo lile la kuitaka Iran iachane kabisa na urutubishaji madini ya urani.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]