Mkuu wa Majeshi ya Libya afariki kwa ajali ya ndege Uturuki
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 14:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Ali Yerlikaya amesema mabaki ya ndege hiyo ya kukodi aina ya Falcon 50 yamepatikana kwenye wilaya ya Haymana nje kidogo ya Ankara.
--------------------------------------------------------------------