Marekani yawawekea marufuku wanaharakati wa mtandaoni
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 21:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kupitia matandao wa X naibu Waziri wa Mambo ya Nje Sarah Rogers ameandika kwamba marufuku hiyo inawahusu Anna-Lena von Hodenberg na Josephine Ballon wakurugenzi wawili wakuu wa shirika la Ujerumani la HateAid, ambalo hupambana na unyanyasaji mtandaoni.
--------------------------------------------------------------------