Ukraine yazindua mpango mpya wa amani kati yake na Urusi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-25 15:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema yuko tayari kuondoa wanajeshi wake katika mji wa Donbas ambao ni kitovu cha viwanda mashariki mwa nchi hiyo kama sehemu ya mpango wa kumaliza vita vyake na Urusi lakini kwa sharti kwamba Urusi nayo ijiondoe katika eneo hilo na liwekwe chini ya uangalizi wa vikosi vya kimataifa.
--------------------------------------------------------------------