Kutoka mapinduzi hadi sanduku la kura: Guinea yapiga kura
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-26 07:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Raia wa Guinea wanatarajiwa kupiga kura Jumapili katika uchaguzi wa kwanza wa rais tangu jeshi lichukue madaraka kupitia mapinduzi ya mwaka 2021, huku wachambuzi wakitabiri ushindi wa kiongozi wa junta, Jenerali Mamadi Doumbouya.
--------------------------------------------------------------------