AFCON: Morocco yaruhusu mashabiki kuingia bure viwanjani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-26 00:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waandaaji wa Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco wameanza kuwaruhusu mashabiki kuingia viwanjani bila malipo baada ya mechi kuanza, pale ambapo viwanja havijajaa, chanzo cha Shirikisho la Soka Afrika kimeieleza AFP.
--------------------------------------------------------------------