Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ahukumiwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-26 20:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mahakama Kuu ya Malaysia ilimpata na hatia kwa makosa manne ya matumizi mabaya ya madaraka, huku hukumu za ziada za utakatishaji fedha zikiendelea kutolewa. Mamlaka zinasema Najib alihamisha zaidi ya dola milioni 700 kwenye akaunti zake binafsi kutoka mfuko wa 1MDB, madai ambayo ameyakana akisema fedha hizo zilikuwa mchango wa kisiasa kutoka Saudi Arabia.Najib, aliyekuwa Waziri Mkuu kati ya 2009 na 2018, tayari anatumikia kifungo cha miaka 12 gerezani baada ya hukumu ya awali mwaka 2020 kwa makosa yanayohusiana na
--------------------------------------------------------------------