Kim, ameagiza uzalishaji zaidi wa makombora mwaka 2026
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-26 19:55 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, South Korea, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa kutoka katika chombo cha habari cha umma nchini Korea Kaskazini zimeripoti kuwa kiongozi wa taifa hilo Kim Jong Un ameagiza ‘kuongeza' na kuboresha uzalishaji wa makombora ya nchi hiyo mwaka ujao, pamoja na ujenzi wa viwanda zaidi ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka. Katika ziara yake katika viwanda vya silaha akiwa na maafisa waandamizi, Shirika la Habari la Korea (KCNA) limesema Kim ameagiza viwanda hivyo kukidhi ‘mahitaji yanayotarajiwa katika uendeshaji wa vikosi vya makombora na mizinga vya taifa'.
--------------------------------------------------------------------