Iran imekamata meli ya mafuta katika Ujia wa Hormuz

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-27 00:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Aidha amesema vikosi hivyo pia viliwakamata wafanyakazi 16 wa kigeni wa meli hiyo, akiongeza kuwa kukamatwa huko ni ‘pigo kubwa' kwa biashara ya magendo. Lakini hata hivyo taarifa haikufichua uraia wa wafanyakazi hao au bendera ya meli hiyo.Iran mara kwa mara hukamata meli zinazobeba mafuta kwa madai kama hayo katika eneo hilo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]