Hospitali yasitisha huduma kwa uhaba wa mafuta Gaza

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-27 00:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baada ya zaidi ya miaka miwili ya vita, Hospitali ya Al-Awda katika wilaya ya Nuseirat, katikati ya Gaza, inahudumia takriban wagonjwa 60 waliolazwa na kupokea karibu watu 1,000 wanaotafuta matibabu kila siku Ahmed Mehanna, afisa mwandamizi anayehusika na usimamizi wa hospitali hiyo anasema huduma nyingi zimesitishwa kwa muda kutokana na uhaba wa mafuta yanayohitajika kwa jenereta, na kwamba idara muhimu pekee ndizo zinazoendelea kufanya kazi: kitengo cha dharura, wodi ya uzazi na idara ya watoto.Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]