NATO: Umoja wa Ulaya hauna haja ya kujitenga na Marekani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-27 00:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, Economy & Finance, International Orgs, US Politics, Business & Economy, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na Shirika la Habari la Ujerumani DPA, Rutte amesema Marekani inatarajia Ulaya ichukue jukumu zaidi na itumie fedha zaidi kwa ulinzi. Na kwamba ana uhakika kabisa kuwa Marekani imewekeza kikamilifu katika NATO. Rutte, amesema mkutano wa NATO wa Juni mjini The Hague ulikuwa hatua muhimu, baada ya washirika wote kukubaliana kuongeza matumizi ya ulinzi hadi asilimia 5 ya pato la taifa (GDP) ifikapo mwaka 2035.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]