Marekani na China zapongeza Thailand na Cambodia kukubaliana
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-29 14:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, US Politics, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Marekani Donald Trump alisema alifurahishwa kwamba mzozo huo umehitimishwa haraka na kwa njia ya haki," akiongeza kwamba Washington "inajivunia kusaidia." Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi aliyaita makubaliano hayo "hatua muhimu kuelekea kurejesha amani," akiongeza kuwa "yanaendana na matarajio ya pamoja ya nchi za eneo hilo."
--------------------------------------------------------------------