Algeria yatinga hatua ya mtoano ya AFCON nchini Morocco
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-29 14:48 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mahrez sasa ana jumla ya mabao matatu kwenye mashindano hayo. Algeria, mabingwa wa Afrika mwaka wa 1990 na 2019, wana pointi sita baada ya mechi mbili za Kundi E na hawajafungwa bao. Katika Kundi F, mabingwa watetezi Ivory Coast walishindwa kujiunga na nchi hizo tatu baada ya kutoka sare ya bao moja kwa moja na Cameroon katika mechi ya kusisimua iliyopigwa mjini Marrakesh.
--------------------------------------------------------------------