Trump: Ukraine na Urusi zinakaribia makubaliano ya amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-29 15:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kauli za rais zilijiri baada ya viongozi hao kukutana kwa mazungumzo kufuatia kile Trump alisema ni mazungumzo "mazuri zaidi" ya saa mbili na nusu kwa simu na Rais wa Urusi Vladimir Putin, ambaye uvamizi wake dhidi ya Ukraine ulianzisha vita karibu miaka minne iliyopita. Trump alisisitiza kwamba anaamini Putin bado anataka amani, hata kama Urusiilianzisha mashambulizi mengine dhidi ya Ukraine wakati Zelenskyy akisafiri hadi Marekani kwa ajili ya duru ya karibuni ya mazungumzo.
--------------------------------------------------------------------