Syria yakumbwa na machafuko mengine ya kimadhehebu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-29 22:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Makabiliano hayo yameibuka siku mbili baada ya msikiti wa Alawi ulioko kwenye mji wa Homs kushambuliwa kwa bomu na kuwaua watu wanane na kuwajeruhi wengine 18 wakati wakifanya ibada na kusababisha maelfu ya waandamanaji kukusanyika kwenye miji ya pwani ya Latakia, Tortus na mingine.
--------------------------------------------------------------------