Hakimi awataka mashabiki wa Morocco kusitisha miluzi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 01:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi, ametoa wito kwa mashabiki wa taifa hilo kusitisha tabia ya kuwapigia miluzi wachezaji wakati wa mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Kauli hiyo imekuja kabla ya mchezo muhimu wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Zambia.
--------------------------------------------------------------------