Trump kukutana na Netanyahu kujadili amani ya Gaza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 01:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais Donald Trump alimualika Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika makaazi yake ya kifahari ya Mar-a-Lago Florida, kujadili awamu inayofuata katika mpango wa amani ya Ukanda wa Gaza. Awamu ya kwanza imeendelea kutekelezwa tangu Oktoba 10, baada ya pande hasimu Israel na Hamas kuukubali mpango wa vipengele 20 wa Trump wa kumaliza vita vya zaidi ya miaka miwili katika Ukanda huo wa Gaza.
--------------------------------------------------------------------